Tuesday, September 18, 2012

Tamko Dhidi ya Serikali ya Tanzania Kuhusu Uvunjwaji wa Haki za Binadamu

Nadhani wengi wetu tunafahamu kuwa kuna tamko linalosambaa mitandaoni dhidi ya serikali ya Tanzania, ambalo watu sehemu mbali mbali duniani wanasaini ili hatimaye lipelekwe serikalini, kuishinikiza kuheshimu haki za binadamu. Tamko lenyewe ni hili hapa.

Heshima ya Tanzania inaendelea kuchafuka ulimwenguni kutokana tabia ya serikali hii. Hiyo ni habari ya kweli, sio uzushi. Leo, nimesoma taarifa kuwa mkurugenzi mkuu wa UNESCO ametoa tamko kuitaka serikali ya Tanzania iwajibike katika kuchunguza tukio la kuuawa mwanahabari Daud Mwangosi. Taarifa ni hii hapa.



No comments:

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...