Wednesday, June 23, 2021

KITABU KINAPATIKANA ARUSHA

Mjasiriamali wa Arusha anauza kitabu hiki ambacho kimekuwa gumzo huku nje ya Tanzania hadi hivi karibuni katika Trade With Africa Business Summit, mkutano uliohudhuriwa na watu maarufu kutoka nchi mbali kuanzia Umoja wa Afrika, hadi Israel, Ujerumani, Nigeria, Ghana, Afrika Kusini, na Marekani. Piga simu namba 0787 597 202

No comments:

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...