Sophia ni mwanafunzi wangu hapa katika Chuo cha St. Olaf. Ni mfuatiliaji wa maandishi na maongezi yangu YouTube kuhusu tofauti za tamaduni. Siku chache zilizopita, aliniambia kuwa amepata kitabu changu, Chickens in the Bus: More Thoughts on Cultural Differences. Aliniambia kuwa angependa tufanye mahojiano. Leo, tarehe 17 Desemba, tumekutana ofisini mwangu tukaongelea mengi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Ukizunguka mitaani Dar es Salaam, utakuta matangazo mengi ya waganga wa kienyeji. Waganga hao wanatoka sehemu mbali mbali, kama vile Sumbaw...
-
Leo napenda kukitambulisha kwako mdau kitabu muhimu cha ki-Swahili, Tenzi Tatu za Kale . Nilinunua nakala yangu miaka kadhaa iliyopita katik...
1 comment:
What an interview. I have enjoyed this piece so to speak, especially its originality. I love the way you honestly struggle to start the program. A few people dare to show their audience what goes on behind the curtain. Congrats Bro Mbele and keep it up.
Post a Comment