Friday, September 17, 2010

Kwa Nini Ninablogu

Jana niliandika makala, lakini nadhani nilikosea wakati wa kuichapisha, maana naona imeenda bila kichwa. Nimeona kwenye blogu za wengine hakuna kichwa, bali jina la blogu tu. Kwa hivi nimeona nilete taarifa kuwa makala ilikuwa na kichwa, "Kwa nini ninablogu." Soma hapa.

No comments:

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...