Friday, June 18, 2010

Nashiriki Tamasha la Elimu, Dar es Salaam, Juni 24-25

Tarehe 24 na 25 Juni nitakuwa Diamond Jubilee Hall, Dar es Salaam, nikishiriki tamasha la elimu. Nitakuwa na meza yangu na hapo nitaongea na watu kuhusu masuala ya elimu, utamaduni na kadhalika, na hasa shughuli zangu katika nyanja hizo. Vitabu vyangu vitakuwepo.

Nawakaribisha wote; tuonane, tubadilishane mawazo, na tulumbane. Karibuni sana.

1 comment:

Mbele said...

Gazeti la "Nipashe" lilitoa taarifa kuhusu tamasha hili. Soma hapa.

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...