
Thursday, June 16, 2011
Shughuli ya Waandishi Imefana Minneapolis

Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...

-
Leo ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwangu, ambayo ni tarehe 17 Agosti, 1951. Familia yangu, ndugu, na marafiki wamejumuika nami kushereh...
-
Leo napenda kukitambulisha kwako mdau kitabu muhimu cha ki-Swahili, Tenzi Tatu za Kale . Nilinunua nakala yangu miaka kadhaa iliyopita katik...
-
Kutafsiri kazi ya fasihi ni kazi ngumu ya kuchemsha bongo. Inahitaji ufahamu wa hali ya juu wa lugha husika, na pia hisia makini za kifasih...
3 comments:
Na kweli ilifana, safi sana vitu kama hivyo vikawepo hata huku kwetu nyumbani, waandishi wakutane, hata kupata nafasi ya kutangaza vitabu vyao iitwe siku ya vitabu Tanzania!
emu-three, shukrani kwa ujumbe. Maonesho ya vitabu yanafanyika Tanzania, nami nimeshuhudia, ila wa-Tanzania kwa ujumla hawahudhurii, labda watoto wa shule. Hata hapa maeneo ya katikati Marekani, nimehudhuria kwa miaka, kama ninavyothibitisha katika blogu zangu. Utawaona wa-Afrika wengine, kutoka nchi kama Kenya, Somalia, Ethiopia, Uganda, Congo, Nigeria, Ghana, na Liberia, lakini sio Tanzania, wala watoto wao.
Katika maonesho niliyoelezea hapa, niliongea na mama mmoja kutoka Congo, nikamwambia kuwa nasikitika siwaoni wa-Tanzania. Alicheka kidogo akasema wanapatikana Blue Nile. Blue Nile ni baa maarufu mjini Minneapolis, ambapo bendi hutumbuiza.
Inasikitisha kwa kweli Profesa, maana inavyoonekana sisi Watanzania tunasifiwa kwa `starehe'...Ni kweli lakini, watu hawajibidishii kusoma Vitabu, hili tunaliona hapa.
Nakumbuka wakati mmoja nilikuwa nafanya kazi kwenye kampuni ya kuchapa vitabu, wanunuzi wa vitabu walipokuwa wakija pale kwetu walikuwa wakidai kuwa vitabu vyeti ni vikubwa sana...nikawaza kama ni vikubwa ndio vyema maana vitakuwa na mambo mengi.....!
Kwakweli inasikitisha sana! Angalia hata kwenye blogs, tunajitahidi kuandika kwa kupitia njia hii, kwa bure kabisa, lakini angalia iadai ya wasomaji Wakitanzania, na hebu jaribu kuweka picha za vichekesho, starehe, burudani za....utaona utakavyopata wasomaji wengi!
Post a Comment