Kuna malalamiko miongoni mwa wa-Tanzania wengi kuwa watawala wa awamu hii ya tano wanakiuka katiba na sheria. Malalamiko haya hayatoki kwa wapinzani tu. Hata mimi ambaye sina chama nimekuwa nikielezea malalamiko yangu. Wanaokiuka katiba na sheria wanaiweka rehani amani ya nchi.
Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere alielezea wajibu wa viongozi kufuata katiba na sheria. Labda kwa kukumbushia wosia wake, watawala wa Tanzania watatambua makosa yao na kujirekebisha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Ukizunguka mitaani Dar es Salaam, utakuta matangazo mengi ya waganga wa kienyeji. Waganga hao wanatoka sehemu mbali mbali, kama vile Sumbaw...
-
Leo napenda kukitambulisha kwako mdau kitabu muhimu cha ki-Swahili, Tenzi Tatu za Kale . Nilinunua nakala yangu miaka kadhaa iliyopita katik...
No comments:
Post a Comment