Wednesday, November 9, 2011

Hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Novemba 9

Leo asubuhi, katika kufuatilia habari za mambo yanayotokea Arusha wiki hii, nimesoma kwamba wakati polisi wamewakamata CHADEMA eti kwa kufanya mkutano bila kibali, polisi hao hao hawajawakamata CCM ambao walifanya mkutano bila kibali cha polisi. Mimi kama raia ambaye si mwanachama wa chama chochote cha siasa nimeona kwa miaka na miaka jinsi vyombo vya dola Tanzania vinavyofanya umachinga kwa CCM, chama ambacho hatimaye, Mwalimu Nyerere alikiogopa, kama nilivyoelezea hapa.

No comments:

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...