Thursday, March 15, 2012

Nimetua Kunduchi Beach Hotel

Jana mchana nilichukua dala dala nikaenda zangu Kunduchi Beach Hotel. Kuanzia maeneo ya Lugalo na kwenda mbele, kuna shughuli kubwa ya ujenzi wa barabara.

Napenda kupunga upepo sehemu za ufukweni. Napenda pia kuandika taarifa za sehemu hizo, kama nilivyofanya kuhusu Matema Beach na Mbamba Bay.

2 comments:

MICHUZI BLOG said...

Karibu sana Prof na pole na maswahiba ya kuibiwa.

Mbele said...

Asante sana Mkuu. Nilipangia safari hii nikutafute kwa kila hali ili nikupe kile kitabu changu. Nitafanya hivyo, Insh'Allah.

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...