Jana nimetoka Arusha, nikasafiri salama hadi Dar es Salaam. Nilikuwa na wasi wasi kiasi kikubwa nilipokuwa kwenye baadhi ya mitaa ya Arusha, kutokana na namna watu wanavyoendesha magari, piki piki, baiskeli, na kadhalika. Kwenye mitaa hiyo, uendeshaji ni wa kutisha, nami nilikuwa nikitembea mitaani kwa woga, roho mkononi.
Nashukuru nimesalimika hadi kuja tena Dar es Salaam, ambapo napo katika sehemu mbali mbali, uendeshaji ni roho mkononi. Lakini naamini Arusha ni zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Kutafsiri kazi ya fasihi ni kazi ngumu ya kuchemsha bongo. Inahitaji ufahamu wa hali ya juu wa lugha husika, na pia hisia makini za kifasih...
-
Ukizunguka mitaani Dar es Salaam, utakuta matangazo mengi ya waganga wa kienyeji. Waganga hao wanatoka sehemu mbali mbali, kama vile Sumbaw...
1 comment:
Na ashukuriwe Muumba kwa kukuweka salama.
Post a Comment