Baadhi ya wasafiri hao walisoma katika chuo cha St. Olaf, na tulipata fursa ya kuongelea na kupiga soga kuhusu maisha chuoni hapa. Baadhi wamesoma maandishi yangu mengine, kama vile Matengo Folktales na Notes on Achebe's Things Apart. Niliona wazi kuwa hao ni watu makini ambao wanajishughulisha kufahamu habari za huko waendako.
Saturday, February 6, 2010
Wamarekani Safarini Malawi
Baadhi ya wasafiri hao walisoma katika chuo cha St. Olaf, na tulipata fursa ya kuongelea na kupiga soga kuhusu maisha chuoni hapa. Baadhi wamesoma maandishi yangu mengine, kama vile Matengo Folktales na Notes on Achebe's Things Apart. Niliona wazi kuwa hao ni watu makini ambao wanajishughulisha kufahamu habari za huko waendako.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...

-
Leo ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwangu, ambayo ni tarehe 17 Agosti, 1951. Familia yangu, ndugu, na marafiki wamejumuika nami kushereh...
-
Leo napenda kukitambulisha kwako mdau kitabu muhimu cha ki-Swahili, Tenzi Tatu za Kale . Nilinunua nakala yangu miaka kadhaa iliyopita katik...
-
Kutafsiri kazi ya fasihi ni kazi ngumu ya kuchemsha bongo. Inahitaji ufahamu wa hali ya juu wa lugha husika, na pia hisia makini za kifasih...
2 comments:
Nadhani walikuwa na maswali ambayo yalihitaji kukuuliza ana kwa ana, nawatakia safari njema wajiandae na malaria
Kwa ujumla wa-Marekani huwa wanajitahidi kuulizia masuali na kujiandaa vilivyo na taarifa mbali mbali kabla hawajasafiria nchi ya nje. Tahadhari za malaria au hatari zingine wanakuwa nazo kichwani. Nimeelezea sana hayo kwenye kitabu changu.
Ni tofauti na sisi wa-Swahili. Sisi tukipata safari, ni kufungasha mizigo na kuelekea uwanja wa ndege. Hutamkuta m-Swahili ananunua kitabu asome kuhusu kule anakoenda. Ni kuingia pipa na kutokomea kusikojulikana. Hatuna wasi wasi. Humo pipani ni kukanyaga bia tu hadi mwisho wa safari :-)
Post a Comment