Saturday, October 30, 2010

Mahojiano: JK na Wanahabari

Jana tangu asubuhi hadi leo mchana nilikuwa Chicago, katika mkutano. JK alifanya mahojiano yake na wanahabari jana hiyo hiyo. Leo nimeona yamewekwa katika blogu maarufu ya wavuti. Nami nimeyaweka hapa kwangu, nikitanguliza shukrani kwa Da Subi.




3 comments:

Mbele said...

Nimesikiliza sehemu ya kwanza, nikamsikia JK anavyojaribu kutuhakikishia kuwa safari hii mfumo unaotumika katika upigaji kura ni mzuri na wa wazi kiasi kwamba tusiwe na wasiwasi kuhusu wizi wa kura.

Nashangaa tueleweje tunaposikia taarifa kama hii hapa.

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Mbele jibu liko kwenye utani ambao si Kikwete wala CCM wamewahi kukanusha kuwa ni msanii. Wengi wanatumia neno msanii kumaanisha muongo. Ni mara ngapi umemsikia akisema hataki watu wamwage damu wakati CCM waliishaimwaga sana tu?

Mbele said...

Ansbert Ngurumo naye amechambua mahojiano haya. Soma hapa.

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...