Ama huku UK kuna mtu namjua amekwenda zanzibar kwa matenbezi na alikuwa hayuko zanzibar kwa zaidi ya miaka kumi na moja na alipofika tu kafanya mipango na kapewa kitambulisho kwani yeye ni mmoja wa watu ambae jamaa zake wanafanya kazi ikulu na kwa Bamkwe.
2 comments:
Ama huku UK kuna mtu namjua amekwenda zanzibar kwa matenbezi na alikuwa hayuko zanzibar kwa zaidi ya miaka kumi na moja na alipofika tu kafanya mipango na kapewa kitambulisho kwani yeye ni mmoja wa watu ambae jamaa zake wanafanya kazi ikulu na kwa Bamkwe.
Ama dhuluma kubwa inapita.
Wadau, samahani, hii video naona iliondolewa huko mtandaoni ambako ilikuwepo. Sijui ni kwa nini na kwa namna gani.
Post a Comment