Nadhani wengi wetu tunafahamu kuwa kuna tamko linalosambaa mitandaoni dhidi ya serikali ya Tanzania, ambalo watu sehemu mbali mbali duniani wanasaini ili hatimaye lipelekwe serikalini, kuishinikiza kuheshimu haki za binadamu. Tamko lenyewe ni hili hapa.
Heshima ya Tanzania inaendelea kuchafuka ulimwenguni kutokana tabia ya serikali hii. Hiyo ni habari ya kweli, sio uzushi. Leo, nimesoma taarifa kuwa mkurugenzi mkuu wa UNESCO ametoa tamko kuitaka serikali ya Tanzania iwajibike katika kuchunguza tukio la kuuawa mwanahabari Daud Mwangosi. Taarifa ni hii hapa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Ukizunguka mitaani Dar es Salaam, utakuta matangazo mengi ya waganga wa kienyeji. Waganga hao wanatoka sehemu mbali mbali, kama vile Sumbaw...
-
Leo napenda kukitambulisha kwako mdau kitabu muhimu cha ki-Swahili, Tenzi Tatu za Kale . Nilinunua nakala yangu miaka kadhaa iliyopita katik...
No comments:
Post a Comment