Saturday, December 6, 2014

Mapitio ya Kitabu

Kama mwandishi, huwa nina hamu ya kujua maoni ya wasomaji kuhusu vitabu vyangu. Nawashukuru kwa lolote wanalosema baada ya kusoma na kutafakari yaliyomo kitabuni. Kama kitabu kimewaridhisha au kuwafurahisha, nami nafurahi. Wakiona dosari wakazibainisha, nitawashukuru kwa kunielimisha.

Leo nimeona mtandaoni kuwa kitabu cha Africans and Americans: Embracing Cultural Differences, kimefanyiwa mapitio katika "The Zumbro Current," jarida la kanisa la ki-Luteri la Zumbro, lililopo kusini mashariki mwa Minnesota, Marekani:

Book Review Africans and Americans: Embracing Cultural Differences

The Abner Haugen Library at Zumbro Lutheran Church has a copy of this extremely helpful book on cultural differences between Americans and Africans. It is written by Joseph L. Mbele, a Tanzanian scholar who currently is a professor of English at St. Olaf College. Anyone traveling to another country or continent would find this short book well worth reading. A few of the topics covered are: eye contact, personal space, gender issues, gifts, how “time flies, but not in Africa.” Both my wife Ann and I recommend this 98-page book.

-Duane Charles Hoven. "The Zumbro Current," Oktoba 2014, uk. 7.

No comments:

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...