Saturday, February 18, 2017

Mahojiano Radio KMOJ: Charles Dennis na Joseph L. Mbele

Tarehe 4 Februari, 2017, nilikuwa mgeni katika programu ya African Roots Connection ya Radio KMOJ, Minnesota. Mwendesha kipindi Charles Dennis alifanya mahojiano nami juu ya masuala mbali mbali yanayohusu historia na utamaduni wa watu wenye asili ya Afrika. Unaweza kuyasikiliza mahojiano hayo hapa:
https://www.dropbox.com/home?preview=Story+Telling.mp3

(mpiga picha Zawadi Mbele)


2 comments:

Anonymous said...

Thisis so wonderful how God is directing you in this time of our Country's need. I will listen ... thank you Joseph for all you do for world peace..and communication.Merri

Mbele said...

Thank you, Merri, for your generous comments. To make the interview available to readers who don't know Swahili, I featured it also on my English blog.

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...