Kwa vile ilikuwa ni usiku, sikuweza kuuona mji vizuri. Leo asubuhi nimeanza kutembelea maeneo ya mji, kama vile Mwanjelwa. Nategemea kupata fursa ya kuuona mji huu na pia sehemu zingine za mkoa wa Mbeya.
Thursday, August 18, 2011
Niko Mbeya
Kwa vile ilikuwa ni usiku, sikuweza kuuona mji vizuri. Leo asubuhi nimeanza kutembelea maeneo ya mji, kama vile Mwanjelwa. Nategemea kupata fursa ya kuuona mji huu na pia sehemu zingine za mkoa wa Mbeya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Ukizunguka mitaani Dar es Salaam, utakuta matangazo mengi ya waganga wa kienyeji. Waganga hao wanatoka sehemu mbali mbali, kama vile Sumbaw...
-
Leo napenda kukitambulisha kwako mdau kitabu muhimu cha ki-Swahili, Tenzi Tatu za Kale . Nilinunua nakala yangu miaka kadhaa iliyopita katik...
No comments:
Post a Comment