Friday, August 19, 2011

Mitaani Mbeya

Nimepata fursa ya kupita mitaa ya Mbeya. Ni mji uliojengeka kwenye miinuko na mabonde kiasi kwamba sio rahisi kujua ukubwa wake.


Nimepita maeneo ya u-Hindini, Mwanjelwa, Mama John na Uyole. Majina ya maeneo mengine nimesahau. Ila nilienda hadi shule ya Ivumwe.

Nategemea kutembelea Mbeya tena mwakani.

No comments:

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...