
Nimepata fursa ya kupita mitaa ya Mbeya. Ni mji uliojengeka kwenye miinuko na mabonde kiasi kwamba sio rahisi kujua ukubwa wake.

Nimepita maeneo ya u-Hindini, Mwanjelwa, Mama John na Uyole. Majina ya maeneo mengine nimesahau. Ila nilienda hadi shule ya Ivumwe.

Nategemea kutembelea Mbeya tena mwakani.
No comments:
Post a Comment