Lakini nahisi kuwa siku itakuja ambapo wenye pesa watajichukulia sehemu hizi na kujenga uwigo hadi ziwani. Baada ya kuwekewa uzio, wananchi hawataweza kupita tena maeneo hayo. Hali hii nimeiona sehemu mbali mbali Tanzania, kama vile Ukerewe. Huu ni ubovu wa sera za serikali ya Tanzania ambao unanikera.
Saturday, August 20, 2011
Matema Beach
Lakini nahisi kuwa siku itakuja ambapo wenye pesa watajichukulia sehemu hizi na kujenga uwigo hadi ziwani. Baada ya kuwekewa uzio, wananchi hawataweza kupita tena maeneo hayo. Hali hii nimeiona sehemu mbali mbali Tanzania, kama vile Ukerewe. Huu ni ubovu wa sera za serikali ya Tanzania ambao unanikera.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Ukizunguka mitaani Dar es Salaam, utakuta matangazo mengi ya waganga wa kienyeji. Waganga hao wanatoka sehemu mbali mbali, kama vile Sumbaw...
-
Leo napenda kukitambulisha kwako mdau kitabu muhimu cha ki-Swahili, Tenzi Tatu za Kale . Nilinunua nakala yangu miaka kadhaa iliyopita katik...
5 comments:
Duh! umeniwahi kuweka hizi picha maana nami nilikuwa hapo...Ahsante.
Shukrani kwa ujumbe. Sikujua kuwa umefika mahali hapa. Ni pazuri sana, nami nilipiga picha nyingi ambazo nategemea kuzitumia katika blogu zangu.
Nilifika na kweli ni ppazuri sana. Nilipapenda mno. Nami pia niana picha kadhaa ntazimwaga karibuni pia.
profesa mbele siku moja wapeleke wanafunzi wako pori la minziro kule kyaka kagera wakaone nyoka mwenye miaka 280
Anonymous, shukrani kwa hizi taarifa za nyoka huyu wa ajabu. Ni mambo ya kufuatilia siku za usoni. Kila la heri.
Post a Comment