Saturday, April 7, 2012

Nimetua Morogoro

Juzi nilishinda Morogoro. Nilitaka kuyafaidi tena mazingira na hali ya hewa ya mji huu marufu, ambao niliutembelea pia mwaka juzi, nikaandika habari zake hapa










Ukisafiri kwa basi kwenda Morogoro, hakuna shaka kuwa utapita mahali paitwapo Msamvu. Hapa ni kituo kikuu cha mabasi, na pia sehemu ya biashara za aina aina.

No comments:

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...