Tuesday, April 3, 2012
Duka Asili, Sinza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Ukizunguka mitaani Dar es Salaam, utakuta matangazo mengi ya waganga wa kienyeji. Waganga hao wanatoka sehemu mbali mbali, kama vile Sumbaw...
-
Leo napenda kukitambulisha kwako mdau kitabu muhimu cha ki-Swahili, Tenzi Tatu za Kale . Nilinunua nakala yangu miaka kadhaa iliyopita katik...
2 comments:
Sasa hivi dawa za asili zinatangazwa, zinahifadhiwa kitaalamu,...lakini kuna wajanja wanauza majivu na masizi wakisngizia eti ni dawa, je TBS, au sijui nani wanaodhibiti dawa hizi, ni bora tukaingilia kati kabla ya watu kulishwa sumu
Ninapendekeza wadau wapite hapa Duka Asili wajionee wenyewe na pia kuongea na mmiliki. Nilivyoona ni kuwa wateja wanaridhika na wanachokipata hapo, na wanaendelea kuja. Halafu, kati ya wasomi niliowaona kwenye vikao vya hapo mahali, yuko pia daktari. Hiyo kwangu ni dalili nzuri.
Ni kweli kuwa hapa nchini kuna matatizo ya aina unayoiongelea. Na hata maduka ya dawa za kimagharibi yanadiriki kuuza dawa zilizoisha muda wake, na hivi kuhatarisha maisha ya watu. TBS nimesikia ikilalamikiwa kwa kutokuwa makini na kadhalika.
Post a Comment