Sunday, April 8, 2012

Mahindi na Nyanya, Morogoro

Picha hii nilipiga juzi kwenye kituo cha mabasi cha Msamvu, Morogoro. Ningeweza kuandika insha kuhusu picha hii, nikielezea inavyonikumbusha maisha ya utoto wangu kijijini, utajiri wa nchi yetu, na matatizo ya wale wanaoshabikia vyakula vya kutoka nje ya nchi, vinavyouzwa katika hayo yanayoitwa maduka ya kisasa, matatizo ya fikra ambayo nimeyalezea katika kitabu cha CHANGAMOTO.

No comments:

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...