Monday, April 2, 2012
Nimetembelea Baruti, Dar es Salaam
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...

-
Leo ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwangu, ambayo ni tarehe 17 Agosti, 1951. Familia yangu, ndugu, na marafiki wamejumuika nami kushereh...
-
Leo napenda kukitambulisha kwako mdau kitabu muhimu cha ki-Swahili, Tenzi Tatu za Kale . Nilinunua nakala yangu miaka kadhaa iliyopita katik...
-
Kutafsiri kazi ya fasihi ni kazi ngumu ya kuchemsha bongo. Inahitaji ufahamu wa hali ya juu wa lugha husika, na pia hisia makini za kifasih...
3 comments:
Ohhhh Ahsante sana sana ndugu yangu kwa kazi kubwa na ya upendo kwangu,Mungu akubariki sana kaka Mbele kwa Yote!!
Shukrani. Tulienda na ndugu yangu mmoja anayefahamu maeneo mbali mbali ya Dar es Salaam, na nilimweleza habari yote, akafurahi kuwa tulikuwa tunafanya jambo la kukuburudisha roho. Nakutakia kila la heri.
Ahsanteni sana wapendwa wangu kwa kuniburudisha roho,naomba umfikishie salam zangu.Pamoja ndugu yangu.
Post a Comment