Tuesday, April 10, 2012

Humphrey, Mdau Mpya

Safari hii katika kukaa kwangu hapa Tanzania, nimepata fursa ya kukutana na wasomaji wengi wa maandishi yangu, wakiwemo wadau ambao taarifa zao nishaziandika hapa na hapa.

Nimebahatika pia kufahamiana na kuongea mara nyingi na mdau mpya, Humphrey, msomaji makini wa vitabu na makala. Hapa kushoto anaonekana ameshika vitabu vyangu. Katika maongezi, yeye ni mwepesi kugusia au kukumbushia maandishi mbali mbali. Wengi nchini mwetu hawasomi vitabu, na engine husoma kwa ajili ya mitihani. Wadau kama Humphrey husoma kutokana na ari ya kujielimisha.

Humphrey aliposikia kuwa nimeandika vitabu, aliviagiza hima kutoka kwa mjasiriamali anayeviuza hapa Dar es Salaam, simu namba 0754 888 647 na 0717 413 073. Amekuwa akiwaambia rafiki zake kuhusu vitabu hivyo, hasa Africans and Americans: Embracing Cultural Differences, ambacho anasema amekisoma na kukirudia mara kadhaa. Baada ya kukipitia, baadhi ya hao marafiki zake wameamua kujipatia nakala. Namshukuru Humphrey kwa kusaidia kusambaza fikra zangu, kwani hili ni lengo langu kama mwalimu katika jamii.

Niliwahi kuandika kuhusu duka la Asili, lililoko mbele ya hoteli ya Lion, Sinza, ambalo mmiliki wake ni Humphrey. Humo dukani kuna dawa na vyakula asili, lakini utavikuta pia vitabu vya taaluma mbali mbali ambavyo Humphrey anavisoma. Hapo nimeviona hata vitabu ambavyo sikuwahi kuvisikia, kama vile kitabu cha Jikomboe cha Dr. Godfrey Swai, ambacho ni cha taaluma ya afya, kwa lugha ya ki-Swahili.

Nimepata fursa kadhaa za kujumuika na Humphrey na marafiki zake saa za jioni hapo nje ya duka lake. Maongezi yamekuwa ya maana sana, kuhusu masuala ya uchumi, siasa, utandawazi, na hata utafiti katika lugha na desturi za makabila mbali mbali. Ukiwa hapo unajikuta umechangamsha akili. Naweza kusema kuwa yeyote anayethamini elimu na mandeleo, watu wa aina hiyo ndio wa kuandamana nao. Simu ya Humphrey ni 0713 545 410

2 comments:

Tiba asili said...

Kwa wenye shida mbalimbali kama Kusafisha nyota, kumvuta mpenzi aliye mbali, kumtuliza mpenzi wako, n.k nipigie 0742162843


Pia katika katika kipindi hiki cha kampeni kama unahitaji mvuto kuweza kupata uongozi Karibu Pete zipo pia dawa zipo nipigie Simu husitume SMS kuhepuka matapeli.


PIA KWA UHITAJI WAMALI,UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI MPAKA MASAA 72(SIKU 3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......



KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA



kwa maelezo kamili piga namba +255742162843



(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......



NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO

(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)

MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.



NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.



(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO

1. uwe una umri wa miaka 18+

2. uwe tayari kupokea masharti yote

3.uwe na uwezo wa kutunza siri

4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote

KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU

Tiba asili said...

UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI

(Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajili ni azina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)


MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA

kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.

NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.

(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...