Kwa siku hii tukufu ya Idd Mubarak, napenda kutoa salam kwa ndugu zetu wa-Islam waliotimiza majukumu ya Mwezi Mtukufu hadi kumaliza vizuri. Naamini kuwa baraka za Muumba zitokanazo na ibada hizi zinatuneemesha sote.
Pia naomba Muumba atusaidie kujenga mshikamano na undugu miongoni mwetu wanadamu wote, kwani hili ni fundisho la msingi la dini zetu. Fundisho hili nimeliona katika picha hii ninayoibandika hapa, ambayo nimeikuta Facebook.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Ukizunguka mitaani Dar es Salaam, utakuta matangazo mengi ya waganga wa kienyeji. Waganga hao wanatoka sehemu mbali mbali, kama vile Sumbaw...
-
Leo napenda kukitambulisha kwako mdau kitabu muhimu cha ki-Swahili, Tenzi Tatu za Kale . Nilinunua nakala yangu miaka kadhaa iliyopita katik...

No comments:
Post a Comment