Wednesday, June 12, 2013

CCM na Wadanganyika

Niliiona picha hii katika mtandao wa Facebook, ikaniacha hoi, mbavu sina. Hatimaye, nimeshindwa kujizuia kuiweka hapa katika blogu yangu.

Bahati mbaya sijaweza kuona jina la aliyeiandaa picha hii. Ningemtaja, kwa mujibu wa haki mikili.

No comments:

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...