Thursday, June 27, 2013

Mganga wa Kienyeji Akamatwa Akijaribu Kuloga Ndani ya Mahakama Kisutu


MGANGA WA KIENYEJI AKAMWATA AKIJARIBU KULOGA NDANI YA MAHAMAKA YA HAKIMU MKAZI KISUTU LEO






MGANGA WA KIENYEJI HUYU HAPA PICHANI, RAJABU ZUBERI(30),MKAZI WA Kerege,Muheza Tanga, akiwa chini ya ulinzi wa wanausalama leo saa mbili asubuhi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, baada kifaa maalum cha upekezi kumnasa mganga huyo akiwa na vifaa hivyo vya uganga ambavyo alikuwa amekuja navyo mahakamani hapo kwaajili ya kufanyia mambo ya kishirikina katika kesi moja inayomkabili 
mmoja wa washtakiwa mahakamani hapo. Hongereni sana wanausalama kwa kazi nzuri ya kumnasa mtu huyo kwani mmesaidia kuvuruga azma yake.Picha kwa hisani ya Happy Katabazi

CHANZO: Jamii Forums


1 comment:

mandela pallangyo said...

Huyu mpumbavu wakati dunia ikipambana kwa sayansi ya asili anatumia uchawi. Mjinga huyu

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...