Tulisafiri salama kila mahali: Arusha, Longido, Mto wa Mbu, Karatu, Ngorongoro, Serengeti, Manyara, Babati, na Tarangire. Tulikuwa na bahati; hatukupata tatizo.
Nimeona ni jambo jema kuwakumbuka madereva. Kwa bahati mbaya sina picha ya wapishi wetu, ambao nao walituhudumia vizuri kabisa.
No comments:
Post a Comment