Wanafunzi yapata 150 walikuwepo darasani kunisikiliza. Mwalimu wao alikuwa amewapa vifungu vingi kutoka katika kitabu hicho wasome, na pia aliwapa masuali ambayo waliyatafakari na kuyajibu kabla ya ujio wangu. Walikuwa wamejiandaa vizuri. Ni wanafunzi makini, wenye duku duku ya kufahamu mambo, nami nilifurahi kupata fursa ya kuwahamasisha kuhusu kuzifahamu tamaduni mbali mbali, kwa kusoma, kujumuika na watu wa tamaduni hizo, na ikiwezekana, kwenda kwenye nchi mbali mbali, hasa katika programu za masomo kama hizo ninazoshughulika nazo.
Friday, September 30, 2011
Shule Niliyotembelea Madison
Wanafunzi yapata 150 walikuwepo darasani kunisikiliza. Mwalimu wao alikuwa amewapa vifungu vingi kutoka katika kitabu hicho wasome, na pia aliwapa masuali ambayo waliyatafakari na kuyajibu kabla ya ujio wangu. Walikuwa wamejiandaa vizuri. Ni wanafunzi makini, wenye duku duku ya kufahamu mambo, nami nilifurahi kupata fursa ya kuwahamasisha kuhusu kuzifahamu tamaduni mbali mbali, kwa kusoma, kujumuika na watu wa tamaduni hizo, na ikiwezekana, kwenda kwenye nchi mbali mbali, hasa katika programu za masomo kama hizo ninazoshughulika nazo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...

-
Leo ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwangu, ambayo ni tarehe 17 Agosti, 1951. Familia yangu, ndugu, na marafiki wamejumuika nami kushereh...
-
Leo napenda kukitambulisha kwako mdau kitabu muhimu cha ki-Swahili, Tenzi Tatu za Kale . Nilinunua nakala yangu miaka kadhaa iliyopita katik...
-
Kutafsiri kazi ya fasihi ni kazi ngumu ya kuchemsha bongo. Inahitaji ufahamu wa hali ya juu wa lugha husika, na pia hisia makini za kifasih...
No comments:
Post a Comment