Kama nilivyowahi kuandika, tarehe 31 Agosti nilitembelewa na mdau Renatus Mgusii, ambaye anaonekana nami katika picha hapa kushoto. Ni mtu wa pekee kwangu, kwani ni msomaji makini wa vitabu vyangu. Ametumia hela zake nyingi kuvinunua na anapenda kuongelea yaliyomo. Pia ni mfuatiliaji wa blogu zangu. Ni wazi kuwa alivutiwa na mazungumzo yetu, hadi akaamua kuwaleta marafiki zake tuonane.
Tuesday, September 13, 2011
Mdau Kaleta Wadau Wengine
Kama nilivyowahi kuandika, tarehe 31 Agosti nilitembelewa na mdau Renatus Mgusii, ambaye anaonekana nami katika picha hapa kushoto. Ni mtu wa pekee kwangu, kwani ni msomaji makini wa vitabu vyangu. Ametumia hela zake nyingi kuvinunua na anapenda kuongelea yaliyomo. Pia ni mfuatiliaji wa blogu zangu. Ni wazi kuwa alivutiwa na mazungumzo yetu, hadi akaamua kuwaleta marafiki zake tuonane.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...

-
Leo ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwangu, ambayo ni tarehe 17 Agosti, 1951. Familia yangu, ndugu, na marafiki wamejumuika nami kushereh...
-
Leo napenda kukitambulisha kwako mdau kitabu muhimu cha ki-Swahili, Tenzi Tatu za Kale . Nilinunua nakala yangu miaka kadhaa iliyopita katik...
-
Kutafsiri kazi ya fasihi ni kazi ngumu ya kuchemsha bongo. Inahitaji ufahamu wa hali ya juu wa lugha husika, na pia hisia makini za kifasih...
No comments:
Post a Comment