
Hizo picha zilipigwa Longido, tarehe 27 Januari, siku ya mwisho ya kozi yetu. Mchana wa siku hiyo, wanafunzi walishafanya mtihani wa mwisho, ikabaki sasa kujiburudisha jioni hadi usiku. Palikuwa hapatoshi.
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
2 comments:
Hongera Profesa kwa kuweza kushuka hadi kiwango cha kuruka majoka na wanafunzi wako. Mimi naweza kuita hicho ni kipawa pekee ambacho kiko kwa nadra kwa Maprofesa wengi duniani. Hakika wanafunzi wako wanakuwa huru kwa maana umevunja mipaka ya kiakademia, jambo ambalo naona linatakiwa sana kujengwa hapa petu, ili yumkini Profesa na mwanafunzi wawe na mahusiano mamzuri.
Inapendeza sana...
Post a Comment