Rachel na Anna waliniomba nikawe mwanajopo katika mjadala wa leo, kwa vile wanafahamu ninafahamika na kukubalika katika jamii ile. Mjadala ulilenga kuwapa fursa wazazi na vijana kufahamu hali halisi, faida na changamoto za vyuo kwa wa-Islam ambao pia ni wahamiaji kutoka Afrika.
Sunday, October 30, 2011
Wa-Islamu Vyuoni Marekani
Rachel na Anna waliniomba nikawe mwanajopo katika mjadala wa leo, kwa vile wanafahamu ninafahamika na kukubalika katika jamii ile. Mjadala ulilenga kuwapa fursa wazazi na vijana kufahamu hali halisi, faida na changamoto za vyuo kwa wa-Islam ambao pia ni wahamiaji kutoka Afrika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...

-
Leo ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwangu, ambayo ni tarehe 17 Agosti, 1951. Familia yangu, ndugu, na marafiki wamejumuika nami kushereh...
-
Leo napenda kukitambulisha kwako mdau kitabu muhimu cha ki-Swahili, Tenzi Tatu za Kale . Nilinunua nakala yangu miaka kadhaa iliyopita katik...
-
Kutafsiri kazi ya fasihi ni kazi ngumu ya kuchemsha bongo. Inahitaji ufahamu wa hali ya juu wa lugha husika, na pia hisia makini za kifasih...
2 comments:
Hongera sana Profesa,kwa kazi waliyokuomba ya kuwa mwanajopo,hawakukosea kwakuwa wewe ni mwanafalsafa ya maadili,hawakukosea.Walifahamu utatoa maadili mema kwa wanafunzi bila kujali imani zao.Kaza kamba bado Dunia inatambua mchango wako.
Nashukuru Mzee Sikapundwa, kwa kutembelea kijiwe changu na kutoa maoni. Namshukuru Mungu kwa kunipa uzima na uwezo, ambayo ndio hazina ninayotumia katika kujielimisha kuhusu haya masuala ya jamii na kujumuika na wanajamii, kwa miaka yote hiyo, hadi nikafikia hatua ya kuwa mshauri makini katika masuala yanayowahusu, hasa yale yatokanayo na tofauti za tamaduni.
Kwenye huo mjadala niliombwa mahsusi niongelee changamoto zitokanazo na ukweli kwamba vyuo, kama taasisi zingine, zimejikita katika utamaduni husika, na kwa hivi mategemeo, taratibu, na mambo mengine ya vyuo katika utamaduni fulani yanaweza kuwa magumu kwa mtu wa utamaduni tofauti. Bahati nzuri hili ni somo ambalo nimelishughulikia kwa miaka, na jamii hapa Marekani zinatambua ufahamu na uzoefu nilio nao.
Post a Comment