Wednesday, January 11, 2012

Kitabu Kinapatikana Chuoni Saint Benedict, Minnesota

Nimeona taarifa leo kuwa kitabu cha Africans and Americans: Embracing Cultural Differences kinapatikana katika duka la vitabu la Chuo cha Saint Benedict, Minnesota.

Nakumbuka kuwa niliwahi kutoa mihadhara miwili katika chuo hiki, kuhusu vitabu vyangu viwili. Mhadhara mmoja niliuelezea hapa. Mwanafunzi mmoja aliuongelea mhadhara wangu mwingine, kuhusu hiki kitabu cha Africans and Americans katika blogu yake.

No comments:

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...