
Nimeona taarifa leo kuwa kitabu cha
Africans and Americans: Embracing Cultural Differences kinapatikana katika
duka la vitabu la Chuo cha Saint Benedict, Minnesota.
Nakumbuka kuwa niliwahi kutoa mihadhara miwili katika chuo hiki, kuhusu vitabu vyangu viwili. Mhadhara mmoja niliuelezea
hapa. Mwanafunzi mmoja aliuongelea mhadhara wangu mwingine, kuhusu hiki kitabu cha
Africans and Americans katika
blogu yake.
0 comments:
Post a Comment