NImeandika mara kadhaa kuhusu Matema Beach katika blogu zangu, kwa mfano hapa na hapa, na napangia kuendelea kuandika.
Sunday, January 22, 2012
Naikumbuka Matema Beach
NImeandika mara kadhaa kuhusu Matema Beach katika blogu zangu, kwa mfano hapa na hapa, na napangia kuendelea kuandika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...

-
Leo ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwangu, ambayo ni tarehe 17 Agosti, 1951. Familia yangu, ndugu, na marafiki wamejumuika nami kushereh...
-
Leo napenda kukitambulisha kwako mdau kitabu muhimu cha ki-Swahili, Tenzi Tatu za Kale . Nilinunua nakala yangu miaka kadhaa iliyopita katik...
-
Kutafsiri kazi ya fasihi ni kazi ngumu ya kuchemsha bongo. Inahitaji ufahamu wa hali ya juu wa lugha husika, na pia hisia makini za kifasih...
2 comments:
hata mia naikumbuka sana bahati mbaya tulikuwa huko tofauti mwaka jana...ni sehemu nzuri sana asiyefika basi na ajaribu kufika:-)
Nakumbuka sana kuwa uliwahi kutuambia kuwa ulifika hapa Matema. Nina hamu ya kuona picha zako, kama ulipiga.
Post a Comment