Tuesday, February 21, 2012

Mtoto atoweka nyumbani na anatafutwa

Mtoto huyu pichani afahamikaye kwa jina la Fatuma katoroka nyumbani kwao maeneo ya Mbweni Masauti jana mchana na hajulikani alipo mpaka sasa. Alikuwa amevaa nguo ya kichwani na ameshika begi dogo jeusi. Kwa yeyote atakayemuona tunaomba awasiliane nasi kwa namba 0713 716 656 au ampeleke kituo chochote cha polisi kilicho karibu yake.

Chanzo: Michuzi blog

No comments:

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...