Mtoto huyu pichani afahamikaye kwa jina la Fatuma katoroka nyumbani kwao maeneo ya Mbweni Masauti jana mchana na hajulikani alipo mpaka sasa. Alikuwa amevaa nguo ya kichwani na ameshika begi dogo jeusi. Kwa yeyote atakayemuona tunaomba awasiliane nasi kwa namba 0713 716 656 au ampeleke kituo chochote cha polisi kilicho karibu yake.
No comments:
Post a Comment