Niliwahi kuhojiwa na ndugu Deus Gunza, katika Radio Butiama, kuhusiana na kitabu changu kinachohusu tofauti za utamaduni wa Mmarekani na ule wa Mwafrika. Mahojiano yanasikika hapa:
http://butiama.podomatic.com/entry/et/2006-09-02T06_26_37-07_00
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Ukizunguka mitaani Dar es Salaam, utakuta matangazo mengi ya waganga wa kienyeji. Waganga hao wanatoka sehemu mbali mbali, kama vile Sumbaw...
-
Leo napenda kukitambulisha kwako mdau kitabu muhimu cha ki-Swahili, Tenzi Tatu za Kale . Nilinunua nakala yangu miaka kadhaa iliyopita katik...
2 comments:
Nimesikiliza mahojiano, inaonekana kuna hazina iliyojificha na ukitaka kuivumbua ni kwa kusoma kitabu hiki.
Kweli ni ngumu kuzikuanisha tamaduni mbili na njia pekee ya kufahamiana zaidi ni kutambua tofauti zenu kuu kiutamaduni
Nashukuru kwamba naendelea kukutambua zaidi na wakati huo huo ninafaidika zaidi
Shukrani kwa ujumbe wako. Vitabu vyangu sasa vinapatikana Dar, simu namba 754 888 647 au 717 413 073. Nilifanya mpango huo kwa vile ni Watanzania wachache wenye namna ya kuviagiza hapa, ambapo watu kutoka sehemu mbali mbali za dunia wanaviagiza.
Post a Comment