Monday, October 24, 2022

Mdau Amechapisha Mapitio ya Kitabu Changu

Tarehe 21 Oktoba, 2022, katika gazeti la The Citizen, Neelam Babul alichapisha mapitio ya kitabu changu. Nimevutiwa na mrejesho wake. Msomaji yeyote anayetoa maoni yake juu ya kitabu changu, yawe maoni ya ainna yoyote, nashukuru.

No comments:

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...