Tuesday, February 23, 2010

Nimejiunga "twitter"

Napenda kuwafahamisha wasomaji wa blogu hii na maandishi yangu mbali mbali kuwa nimejiunga "twitter," mtandao wa mawasiliano ya haraka haraka. Bofya hapa.

Shukrani kwa kuwa pamoja nami katika blogu hii. Nawakaribisha kujumuika nami "twitter" vile vile na kufuatilia shughuli zangu kwa karibu zaidi.

3 comments:

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) said...

Hii "twitter" mbona kizungumkuti! Tekinolojia zinakwenda kwa kasi ajabu na inabidi kuwa ngangari. Baada ya kuwa nimekufuatilia na kujifunza vya kutosha kuhusu ku"twita" basi pengine nami nitaijaribu...Kazi kweli kweli.

Mbele said...

Haya mambo ni mageni kwangu pia, lakini najikongoja. Faida moja ninayoiona ni ya kupata taarifa mbali mbali, maadam uwe umechagua washiriki unaowaona wanaweza kukupanua mawazo.

Mwanzoni nilidhani hizi kumbi kama twitter ni za vijana wadogo wa siku hizi, kumbe nimeona kuwa huko kuna watu maarufu, makampuni, na taasisi mbali mbali. Ni sehemu nzuri ya kutangaza shughuli mbali mbali.

MARKUS MPANGALA said...

TARATIBU PROFESA utafika tuuuuuuu, kizazi kipya hiki

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...