Sunday, June 27, 2021

Kitendea Kazi


Hii picha ya kitabu changu imetoka kwa Abraham Thomas aishiye Mto wa Mbu, Tanzania. Ni kitabu ambacho yeye na wenzake wamekuwa wakikitumia katika shughuli za kuongoza watalii na katika mazingira mengine.

Ukiona jembe limechakaa, ujue linatumika. Kitabu hiki ni sawa na jembe. Mashuhuda ni waMarekani wenye shughuli yoyote na waAfrika, pia waAfrika kama Abraham Thomas wenye shughhuli yoyote na waMarekani. Kinaepusha migogoro na kuchangia ufanisi.

No comments:

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...