Saturday, October 3, 2009

CUF Yaongelea Njama za CCM

2 comments:

Unknown said...

Ama huku UK kuna mtu namjua amekwenda zanzibar kwa matenbezi na alikuwa hayuko zanzibar kwa zaidi ya miaka kumi na moja na alipofika tu kafanya mipango na kapewa kitambulisho kwani yeye ni mmoja wa watu ambae jamaa zake wanafanya kazi ikulu na kwa Bamkwe.

Ama dhuluma kubwa inapita.

Mbele said...

Wadau, samahani, hii video naona iliondolewa huko mtandaoni ambako ilikuwepo. Sijui ni kwa nini na kwa namna gani.

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...