Friday, August 19, 2011

Mbeya: Dobi Miwani Ameamia Sokoine

Leo asubuhi niliamka hapa Mbeya, nikaanza kupita mitaani kwa mguu. Nilipofika eneo la u-Hindini, niliona tangazo: Dobi Miwani Ameamia Sokoine. Nami nimeona niwaletee wadau, kuwaepushia usumbufu.

Napenda blogu yangu iwe bega kwa bega na wajasiriamali wadogo wadogo, katika harakati zao za kujitafutia chochote, kama nilivyogusia hapa.







No comments:

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...