Napenda kupunga upepo sehemu za ufukweni. Napenda pia kuandika taarifa za sehemu hizo, kama nilivyofanya kuhusu Matema Beach na Mbamba Bay.
Thursday, March 15, 2012
Nimetua Kunduchi Beach Hotel
Napenda kupunga upepo sehemu za ufukweni. Napenda pia kuandika taarifa za sehemu hizo, kama nilivyofanya kuhusu Matema Beach na Mbamba Bay.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Ukizunguka mitaani Dar es Salaam, utakuta matangazo mengi ya waganga wa kienyeji. Waganga hao wanatoka sehemu mbali mbali, kama vile Sumbaw...
-
Leo napenda kukitambulisha kwako mdau kitabu muhimu cha ki-Swahili, Tenzi Tatu za Kale . Nilinunua nakala yangu miaka kadhaa iliyopita katik...
2 comments:
Karibu sana Prof na pole na maswahiba ya kuibiwa.
Asante sana Mkuu. Nilipangia safari hii nikutafute kwa kila hali ili nikupe kile kitabu changu. Nitafanya hivyo, Insh'Allah.
Post a Comment