Monday, July 1, 2013

Makala ya "New York Times" Yaongelea Udhalimu Tanzania

Nicholas Kulish wa gazeti la New York Times amechapisha makala kuhusu vitendo viovu ambavyo vimekuwa vikifanyika Tanzania, vitendo ambavyo ni ukiukwaji wa haki za binadamu. Isome makala hiyo hapa

No comments:

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...