Friday, August 12, 2016

Wosia wa Nyerere: Viongozi Wafuate Katiba na Sheria

Kuna malalamiko miongoni mwa wa-Tanzania wengi kuwa watawala wa awamu hii ya tano wanakiuka katiba na sheria. Malalamiko haya hayatoki kwa wapinzani tu. Hata mimi ambaye sina chama nimekuwa nikielezea malalamiko yangu. Wanaokiuka katiba na sheria wanaiweka rehani amani ya nchi.

Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere alielezea wajibu wa viongozi kufuata katiba na sheria. Labda kwa kukumbushia wosia wake, watawala wa Tanzania watatambua makosa yao na kujirekebisha.

No comments:

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...