Saturday, October 23, 2010

Mdahalo, ITV, Dr. Slaa

Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, Dr. Slaa, amefanya mdahalo ITV, kama ilivyotangazwa kwa siku kadhaa. Mimi kama mwalimu naiheshimu sana midahalo, kwani ni njia madhubuti ya kuelimishana, na katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, ni njia madhubuti ya kuwaelewa wagombea. Namsifu Dr. Slaa kwa kujitokeza mbele ya umma namna hii, na nawashutumu wale wote ambao wamekataa kushiriki midahalo. Sikiliza mdahalo huu wa ITV na Dr. Slaa hapa:



Check this out on Chirbit

Mdahalo huu unaweza kuufuatilia pia na kupata taarifa nyingi zaidi hapa.

2 comments:

Simon Kitururu said...

Asante kwa hii Mkuu!

Mbele said...

Karibu sana. Kuna pia video za haya mazungumzo ya Dr. Slaa. Bofya hapa.

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...