Tangazo hili la "Kiboko ya Wachawi" nililiona Kibamba, kandokando ya barabara itokayo Dar es Salaam kwenda Morogoro, tarehe 28 Julai. Nilipita hapo na walimu wengine watatu kutoka Marekani, kutembelea shule ya sekondari ya Shulua ambayo iko maeneo hayo.
Showing posts with label dawa za kienyeji. Show all posts
Showing posts with label dawa za kienyeji. Show all posts
Tuesday, September 21, 2010
Kiboko ya Wachawi
Tangazo hili la "Kiboko ya Wachawi" nililiona Kibamba, kandokando ya barabara itokayo Dar es Salaam kwenda Morogoro, tarehe 28 Julai. Nilipita hapo na walimu wengine watatu kutoka Marekani, kutembelea shule ya sekondari ya Shulua ambayo iko maeneo hayo.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Ukizunguka mitaani Dar es Salaam, utakuta matangazo mengi ya waganga wa kienyeji. Waganga hao wanatoka sehemu mbali mbali, kama vile Sumbaw...
-
Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...
-
Leo napenda kukitambulisha kwako mdau kitabu muhimu cha ki-Swahili, Tenzi Tatu za Kale . Nilinunua nakala yangu miaka kadhaa iliyopita katik...