Monday, December 1, 2014

Nilivyohojiwa Katika Kombolela Show Kuhusu Utamaduni

Siku kadhaa zilizopita, nilileta mahojiano niliyofanyiwa na Radio Butiama. Hapa naleta mahojiano niliyofanyiwa katika Kombolela Show miaka michache baadaye:

https://archive.org/details/KombolelaShowOctober22010

No comments:

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...