Sunday, October 16, 2011

JK na Pinda Wakiwapagawisha Wadau

Kati ya kali zote nilizoziona mwaka huu, hii ya JK na Pinda ni kiboko. Imenivunja mbavu kabisa. Wako mzigoni kikweli kweli, wala si utani. Halafu nikizingatia kuwa wote wawili ni watani wangu, naishiwa nguvu kabisa. Niliiona hapa.

No comments:

Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault

Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Ka...